Lesson Transcript
| Listen to the dialogue with the text on the screen. |
| Mohamed, mimi hukimbia asubuhi kila siku. |
| Huh, wewe hufanya hivyo kila siku? |
| Kila siku kabla ya kula kiamsha kinywa. |
| Hiyo ni njia mwafaka ya kuanza siku yako. |
| Ukweli. Utashinda ukisikia mwenye nguvu na mchangamfu. |
| Mimi huchelewa kuamka kwa hivyo mimi huoga na kuanza shughuli za siku. |
| Ala! hata kiamsha kinywa haukuli? |
| Ndio, mimi huoga na kuondoka. |
| Now you'll hear the key vocabulary followed by the English translation. |
| kabla, 'before' |
| kimbia, 'to run' |
| oga, 'to shower' |
| amka, 'to wake up' |
| mwenye nguvu, 'energetic' |
| ondoka, 'to leave' |
| mazoezi, 'exercises' |
| kiamsha kinywa, 'breakfast' |
| chelewa, 'to be late' |
| kabla, 'before' |
| Finally let's review the dialogue again, see if you can understand more this time. |
| Mohamed, mimi hukimbia asubuhi kila siku. |
| Huh, wewe hufanya hivyo kila siku? |
| Kila siku kabla ya kula kiamsha kinywa. |
| Hiyo ni njia mwafaka ya kuanza siku yako. |
| Ukweli. Utashinda ukisikia mwenye nguvu na mchangamfu. |
| Mimi huchelewa kuamka kwa hivyo mimi huoga na kuanza shughuli za siku. |
| Ala! hata kiamsha kinywa haukuli? |
| Ndio, mimi huoga na kuondoka. |
| This is the end of the lesson. |
Comments
Hide