Lesson Transcript
| Listen to the dialogue with the text on the screen. |
| Mmmhhh...mama umepika chakula tamu sana. |
| Ndio binti yangu. Singetaka kupika chakula kina viungo vingi kwa sababu yako. |
| Aaa..mama! mimi ni mkubwa na naweza kula chakula kina hata viungo vikali. |
| Haya basi chukua chakula unichemshie kwa vile ni baridi. |
| Haya basi. Na kina nyama nyororo sana. |
| Kina chumvi ya kutosha. |
| Sipendi chakula ambacho si kitamu. |
| Ndio. Nami sipendi chakula ambacho hakina supu na kina mafuta mengi. |
| Now you'll hear the key vocabulary followed by the English translation. |
| chakula, 'food' |
| mafuta mengi, 'too oily' |
| chemsha, 'to warm' |
| kali, 'hot' |
| kubwa, 'large' |
| viungo, 'spices' |
| tamu, 'delicious' |
| chumvi, 'salt' |
| mafuta mengi, 'too oily' |
| tamu, 'delicious' |
| Finally let's review the dialogue again, see if you can understand more this time. |
| Mmmhhh...mama umepika chakula tamu sana. |
| Ndio binti yangu. Singetaka kupika chakula kina viungo vingi kwa sababu yako. |
| Aaa..mama! mimi ni mkubwa na naweza kula chakula kina hata viungo vikali. |
| Haya basi chukua chakula unichemshie kwa vile ni baridi. |
| Haya basi. Na kina nyama nyororo sana. |
| Kina chumvi ya kutosha. |
| Sipendi chakula ambacho si kitamu. |
| Ndio. Nami sipendi chakula ambacho hakina supu na kina mafuta mengi. |
| This is the end of the lesson. |
Comments
Hide