Lesson Transcript

Listen to the dialogue with the text on the screen.
Nimekasirika sana.
Kwa nini huna furaha?
Tuliambiana tukutane asubuhi na sasa ni adhuhuri. Kwa nini umechelewa?
Nimechelewa kwa sababu nilipitia njia iliyokuwa na msongamano wa magari.
Mimi nilikwambia nitakuja hapa saa tatu asubuhi.
Pole lakini nilikuwa nimetoka nyumbani mapema.
Haya sawa lakini umekosa.
Nasema pole kwa vile ni mimi nimekuweka.
Now you'll hear the key vocabulary followed by the English translation.
nyumbani, 'home'
kwa nini, 'why'
furaha, 'happiness'
kuweka, 'to keep'
kosa, 'to fail (to do something)'
kasirika, 'to be mad'
chelewa, 'to be late'
msongamano, 'traffic jam'
kwa nini, 'why'
kosa, 'to fail (to do something)'
Finally let's review the dialogue again, see if you can understand more this time.
Nimekasirika sana.
Kwa nini huna furaha?
Tuliambiana tukutane asubuhi na sasa ni adhuhuri. Kwa nini umechelewa?
Nimechelewa kwa sababu nilipitia njia iliyokuwa na msongamano wa magari.
Mimi nilikwambia nitakuja hapa saa tatu asubuhi.
Pole lakini nilikuwa nimetoka nyumbani mapema.
Haya sawa lakini umekosa.
Nasema pole kwa vile ni mimi nimekuweka.
This is the end of the lesson.

Comments

Hide