Lesson Transcript

Listen to the dialogue with the text on the screen.
Sasa ni wakati wa somo la hesabu.
Mimi hulipenda hili somo sana.
Leo tutasoma hesabu za asili mia, kuzidisha, kugawa na bei nafuu.
Mimi najua kuhusu bei nafuu kwa vile tukinunua vitu nyumbani mama yangu huangalia duka zilizo na bei nafuu.
Je, unajua kuhusu kuzidisha?
Ndio najua ni kinyume cha kugawa.
Ukigawa ishirini mara nne, jibu ni tano ambayo ni asilimia ishirini na tano.
Nimeelewa, na ukiunganisha nne mara tano, jibu ni ishirini.
Now you'll hear the key vocabulary followed by the English translation.
kugawa, 'to separate, to divide'
kinyume, 'opposites'
somo, 'lesson'
asilimia, 'percentage'
bei nafuu, 'promotional price'
jibu, 'answer'
kuzidisha, 'multiply'
hesabu, 'maths'
bei nafuu, 'promotional price'
somo, 'lesson'
Finally let's review the dialogue again, see if you can understand more this time.
Sasa ni wakati wa somo la hesabu.
Mimi hulipenda hili somo sana.
Leo tutasoma hesabu za asili mia, kuzidisha, kugawa na bei nafuu.
Mimi najua kuhusu bei nafuu kwa vile tukinunua vitu nyumbani mama yangu huangalia duka zilizo na bei nafuu.
Je, unajua kuhusu kuzidisha?
Ndio najua ni kinyume cha kugawa.
Ukigawa ishirini mara nne, jibu ni tano ambayo ni asilimia ishirini na tano.
Nimeelewa, na ukiunganisha nne mara tano, jibu ni ishirini.
This is the end of the lesson.

Comments

Hide